Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 19, 2010

Tobaa vichaa...

Dokta aliwajaribu wagonjwa wa akili watatu.

Dokta: Haya mchague nani anyongwe mpaka kufa?, nani apigwe risasi ya kichwa? Nani achomwe sindano yenye damu yenye virusi?

Kichaa wa kwanza na wa pili wakachagua namba moja na mbili.
Huyu wa tatu akajichagulia kuchomwa sindano: ''hehe bora unichome sindano yenye virusi vya ukimwi maana nshavaa condom.

From: Sunbella Kyando.
Thanks.

No comments:

Post a Comment