Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 19, 2010

Mwalimu mbele ya wanafunzi

Mwalimu wakati anaandika darasani ghafla akaingia mwanae wa miaka mitano (kwa vile hakai mbali na eneo la shule), kale katoto kalipongia kwa sauti kakasema ''maama... maama... nimemuona baba anamvalisha blauzi chumbani dada wa kazi.''

No comments:

Post a Comment