Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Begi la abiria

Jamaa mmoja baada ya kushuka toka kwenye ndege wakati anasubiri sehemu ya kupokelea mizigo bahati mbaya yeye pekee ndio hakuona mzigo wake, hivyo akaamua akaulize kwa wahusika wa ndege husika aliotua nayo:

Abiria: Samahani nimepotelewa na mzigo wangu sijauona niliposhuka.
Mfanyakazi wa kampuni: Ooh! Utaupata tu usiwe na wasi wasi, hawa wanafanya kazi yao vizuri sana.

Baada ya kusema hivyo akaongezea maongezi ya ziada.
Mfanyakazi wa kampuni: Ndege yako inatua saa ngapi?

No comments:

Post a Comment