Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Kali kuliko

Wakaka fulani pombe ikiendelea kuchapwa ghafla ukimya ukatawala baada ya kupita dada mmoja wa makamo, baada ya nusu dakika kupita mmoja kati ya waliokua wameduwaa akajikuta anasema kama ifuatavyo:

''Mhh! Jamani huyu dada aliepita hapa jinsi alivyo nikisimamishwa mimi na yeye mimi (mwanaume) ndio ntaolewa.

Wenzake hoi kwa kucheka.

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment