Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Cheti cha ndoa

Siku moja baba mmoja aliulizwa na mkewe:

Mke: Mume wangu ni muda mrefu umekaa hapo ukiangalia cheti chetu cha ndoa kulikoni?

Mume: Nilikua nakiangalia nkitafuta expire date.

No comments:

Post a Comment