Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Chai

Jamaa mmoja alileta utata, ni baada ya kutengeneza chai na kuwatayarishia wenzake kisha akamuuliza mtu wa kwanza ''samahani sukari nimeishiwa na je! nikuwekee vijiko vingapi vya chumvi?''

No comments:

Post a Comment