Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Wazo la mtoto

Siku moja baba alimkuta mtoto wake amekaa tulivu huku macho yote kwenye chupa ya konyagi.
Baba yake akaamua kumuuliza:

Baba: Mwanangu hiyo chupa mbona inaiangalia sana kwa muda mrefu sasa?

Mtoto: Baba me nashindwa kuelewa nimemsubiri huyu mtu kwenye hii picha ashushe mikono mpaka nimechoka, hivi hachoki?

No comments:

Post a Comment