Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Chumvi

Baba mmoja alirudi nyumbani akakuta chakula tayari. Alioonja mboga akakuta chumvi nyingi akauliza ''nani mpishi wa leo?''

Wakajibu fulani...

Mtoto wake mmoja akauliza ''vipi kwani baba?''

Baba akajibu ''mpishi wa leo hajapiga mswaki, hata test ya chumvi haja....''

No comments:

Post a Comment