Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Mboga ya leo

Mtoto mmoja wakati wapo mezani wanakula alikuwa yupo kimya sana mpaka baba yake akamuuliza.

Baba: Jo mbona upo kimya sana leo?
Mtoto: Baba kwani siku hizi umefulia? (fedha)

Baba akabaki na mshangao swali limekujaje pale mezani?

Baba: Hapana mwanangu, kwa nini umeuliza?
Mtoto: Mbona ukiwa haupo tunakula nyama kila siku? Kuna anko anakujaga nyumbani.

Mama aliwepo mezani pia...

No comments:

Post a Comment