Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Wallet

Jamaa alienda kula msosi kwenye restaurant fulani, kasheshe ilikuja wakati wa kulipa alijisachi na kukuta kumbe wallet ameiacha kwenye suruali ingine.

Palikuwa hapatoshi, ilibidi aitwe meneja wa restaurant,

akashauri aache viatu ile kuvua tu harufu kali, restaurant akasema viatu 'NO.'

Ndipo aliposema (aliekula) ''naombeni basi niache simu''
meneja akauliza "sio ya mchina?''

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment