Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Coca cola

Mmasai mmoja alienda dukani:
Maasai: Habari ya saa hii?
Muuza Duka: Njema.
Maasai: Ile soda nyeusi ipo?
M. Duka: Ipo.
Maasai: Leta, nausaje?
M. Duka: Sh 200 tu.

Ikaletwa mbele yake maongezi yakaendelea.

Maasai: Fungua.
M. Duka akaifungua.
Maasai: Leta glasi.
Ikaletwa.
Maasai: Pimia mimi ya 100Tsh tu.

No comments:

Post a Comment