Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Tishia mbwa

Mtoto mmoja alikua mvivu wa kula sana, siku moja wakati analishwa chakula aliekuwa anamlisha aliamua kutumia nafasi ya kumuambia mtoto ''kula bwana ntamwita bobi aje akung'ate'' akimaanisha mbwa wa hapo kwao. Kale katoto kuonyesha kuwa hakaogopi hata chembe kakadakia na kumuita mbwa ''bobi... bobi... uyu-uyu-uyu''

Hiyo uyu-uyu-uyu ndio akipiga mluzi kumuita bobi.

Ili inoge tamka uyu-uyu kama ilivyoandikwa ndivyo alivyotamka.

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment