Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Duh!

Mtoto mtundu siku moja asubuhi alimuuliza bibi yake. ''bibi, mama na baba wapo wapi?''

Bibi akajibu ''bado wamelala'' mtoto akaenda shule, aliporudi akauliza swali lile lile akajibiwa vile vile. Jioni napo vivyo hivyo.

Bibi akamuuliza, ''mbona wauliza kila dakika swali hilo?''

Mtoto akajibu huku akicheka na kutikisa kichwa: ''Jana baba kuniomba vaseline mimi nikampa super gluu.''

No comments:

Post a Comment