Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Kidhungu tata

Mtoto mmoja mdadisi alimfuata baba ake kwenye garden na kumuuliza ''baba.. nini maana ya sex?''

Baba alivuta pumzi na kumuambia kwa kina kuhusu sex ikiwemo mbegu za uzazi, mzunguko wa mayai ya uzazi nk nk.

Baba alipomaliza akamuuliza mwanae we umelipata wapi hili neno?

Mtoto: ''Mama kaniambia nije kukuambia kuwa lunch would be ready in a couple of sec's...''

No comments:

Post a Comment