Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Kwenye bus

Jamaa mmoja kwenye daladala alikuwa anasikiliza mziki, alipobanwa na gesi tumboni aliamua kupumua uku akifuatisha midundo ya mziki ili abiria wengine wasisikie sauti akijamba.

Baada ya yeye kijana kushuka kwenye daladala akaja gundua kuwa alikuwa anasikiliza nyimbo kwa headphones zake.

No comments:

Post a Comment