Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Fumanizi

Mwanamke mmoja alisikia kuwa mumewe ana mwanamke wa nje. Akaamua kwenda kununua pistol. Siku ya siku akabahatika kumfumania mumewe chumbani na kimada. Ikawa hivi:

Mwanamke akajilengesha ile pisto kichwani kwake,
Mwanaume: Mke wangu mke wangi tafadhali usijiue.... Ni shetani tu.....

Mwanamke: Nyamaza huko, you are next.

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment