Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Pombeka...

Walevi watatu:
Mlevi 1: Mi nikilewa nasahau gari bar kila siku.
Mlevi 2: Mi nikilewa nakumbuka madeni.
Mlevi 3: Mi nikilewa nasahau kutembea kabsaaa!

No comments:

Post a Comment