Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Kibaka kituo cha polisi

Jamaa mmoja alienda kituo cha polisi ili amuone mwizi alie ingia kwake usiku wa jana yake, kitioni polisi mahojiano yalikuwa hivi:

Alieibiwa: Naomba kumuona yule mwizi alievamia kwangu jana usiku.
Polisi: Utaonana nae mahakamani.

Alieibiwa: Tafadhali nisaidie nataka nimuulize amewezaje kuingia bila mke wangu kumsikia?
Maana nimejaribu kwa miaka mingi sijafanikiwa.

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment