Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Fumanizi

Jamaa mmoja aliporudi home akakutana uso kwa uso na njemba ina-do na mkewe wa ndoa. Katika purukushani za hapa na pale ikafanikiwa kuchoropoka. Mwenye mke alipotoka nje kulitafuta njemba hilo akakutana na vijana na maongezi yao yakawa hivi:

Mwenye Mke: Aisee hamna ona mtu kapita na mb*** mbichi mbichi hapa?
Wale vijana walibaki wameduwaa.

No comments:

Post a Comment