Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Mtuhumiwa

Polisi mmoja wakati anamtafuta mtuhumiwa mhusika kati ya watuhumiwa wanne aliwaamuru kama ifuatavyo:

Askari: Kila mmoja atasema maneno yafuatayo ''toa pesa la sivyo ntakuua sasa hivi''
Kibaka mmoja kati ya wale wanna akadakia kwa sauti ''mimi sikusema hivyo''

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment