Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 18, 2010

Haraka haraka...

Jamaa mmoja alikuwa anaongea na mwenzake, kidogo simu ikaita. Alipopokea aliempigia alikuwa anaongea spidi sana akamuuliza ''khaa! Mwenzangu mbona unaongea haraka sana?''

Jamaa kwenye simu akazidi mwendo ule ule. Ikabidi amuambie ''ndugu yangu una haraka kama una-oga nje?''

No comments:

Post a Comment