Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 18, 2010

Njo... Njo...

Watoto wawili wakati wanamuelekeza baba yao nyumbani wakati anarudi nyuma nyuma ili hivi:

Watoto: Njo... Njo... Njo... Njoo... Mpaka gari ikagonga taa ikavunjika. Wale watoto wakasema ''hapo hapoo!''

No comments:

Post a Comment