Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 18, 2010

Simu kwa dokta

Baba mmoja alimpigia simu daktari wake ili apate msaada wa haraka (huduma ya kwanza).

Mzee: Dokta mwanangu amemeza penseli yangu nifanyeje...
Dokta: Pole sana tumia peni.

No comments:

Post a Comment