Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 18, 2010

Mchungaji

Trafiki alimkamata mchungaji mmoja aliekuwa amelewa.

Mchungaji: Nini shida ofisa?
Trafiki: Umelewa?
Mchungaji: Hapana, mimi ni mchungaji wajua?
Trafiki: Na humo kwenye chupa kuna nini?
Mchungaji: Maji ya baraka.
Trafiki: Hebu ninuse.
Akanusa na kujibu,

Trafiki: Sio maji ya baraka ni pombe mchungaji.
Mchungaji: Oh! Miujiiza!!!

2 comments: