Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 18, 2010

Mshahara wa kwanza

Boss alipomuajiri driver mpya:
Boss: Nakuajiri wewe kama dereva mshahara wa kuanzia ni elfu sabini.

Dereva: Asante sana boss, mshahara wa kuanzia upo sawa... lakini na wa kuendesha gari shiling ngapi...?

1 comment: