Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Kimbwanga cha radio

Jamaa mmoja alikua na tabia ya kulala chini ya mti huku akipunga upepo na radio ikiongea pembeni yake.

Siku moja vijana (vibaka) wakam-time na kufanikiwa kuondoka na radio huku yeye amelala.

Alipokuja kuamka hakuiona radio, kilichofuata wakati anaitafuta mtaa wa jirani mambo yakawa hivi:

Mwenye radio akiuliza kila aliemkuta ''aisee umeona radio ikipita hapa?''

No comments:

Post a Comment