Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Mtihani wa hesabu

Mtoto: Mama naweza kukuazima kikokotoa (calculator) chako kwa ajili ya mtihani wa hesabu kesho shuleni?

Mama: Ntakupatia mwanangu. Na je, kama nisingekuwa na kikokotoa si ingebidi utumie kichwa kufanya hesabu?

Mtoto: Mama that's cheating, haturuhusiwi kutumia kichwa.

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment