Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Kamba

Dereva mmoja alimuambia konda wake afungue kamba iliyokuwa imefungiwa mzigo juu ya keria ya gari husika. Konda wakati anaifungua kamba husika kulingana na ilikuwa ngumu mno kuifungua alijikuta akimuuliza derava wake.
''alieifunga hii kamba alikua amekasirika nini?''

No comments:

Post a Comment