Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Dawa ya kupaka...

Mgonjwa alipofika kwa daktari ili kupata maelekezo vizuri kama alivyoagizwa siku chache nyuma hali ilikuwa hivi:
Mgonjwa: Daktari nimekuja.
Daktari: Karibu sana, nini shida?
Mgonjwa: Dokta, hivi ile dawa ya kupaka uliniambia ninywe mara ngapi?
Dokta: !!?

No comments:

Post a Comment