Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Mchango wa harusi

Jamaa mmoja wakati wa harakati za kuwakumbusha na kufuatilia mchango wa harusi yake alifika kwa bwana mmoja ili kama mchango wake upo tayari auchukua hali ilikuwa hivi:

Bwana harusi mtawajiwa: Kaka nimekuja kukukumbushia mchango wa harusi.
Jamaa akajibu: ''njoo na picha ya bibi harusi kwanza''

No comments:

Post a Comment