Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Kauli...

Fredy alimuona msichana mzuuri akashindwa vumilia na kumuambia...
Fredy: Dada nimekupenda sana.
Dada: Kwa nini mimi?
Fredy: Wewe ni mzuri sana.
Dada: Ooh! Kuna msichana mzuuri zaidi yangu anakuja na nadhani utampenda zaidi. Yupo nyuma yako.

Fredy akageuka kuangalia kisha akajibu.

Fredy: Mbona hamna mtu?
Dada: Ingekuwa unanipenda usingegeuka kumuangalia mwingine.

No comments:

Post a Comment