Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Zahanati

Dada mmoja mwenye ujauzito wakati anachukuliwa maelezo yake na nesi pindi alipohudhuria clinic:

Baaada ya kuulizwa jina, umri nk ikafika kipindi cha kuulizwa jina la Baba wa mtoto.

Nesi: Baba anaitwa nani?
Mjamizito: Sina.
Nesi: Sasa umeipataje hiyo mimba?
Mjamzito: Ameikataa mimba.
Nesi: Mi nipe jina tu nijaze haka kasehemu mengine unayajua wewe.

Kabla hajajibu kuna mgonjwa mmoja wa kiume alikuwa karibu na mahojiano hayo akadakia na kusema ''basi niandike mimi''

No comments:

Post a Comment