Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Kichaa balbu

Mgonjwa wa akili mmoja alikua amejining'iniza kichwa chini miguu juu kwenye dari. Dokta alipokuja akamuuliza mgonjwa mwenzake: ''anafanya nini mwenzako hapo juu?''

Kichaa akajibu: Eti anajifanya taa ya balbu.
Dokta: Kamsaidie kumtoa basi ataumia.
Kichaa: ''Haaa! Yaani nifanye hiyo kazi na giza?''

No comments:

Post a Comment