Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Wodi ya wagonjwa akili

Siku moja wagonjwa wa akili walichorewa kuku ukutani, wakaambiwa wakamkamate.

Woote kasoro mmoja tu ndio hakwenda. Ndipo walihisi huyu ndie mwenye nafuu, kilichofuata wakamuuliza kulikoni?

Yule mgonjwa wa akili akawajibu huku akinong'ona ''shhhh! Nat.a.a.ga''

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment