Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Vichaa

Wagonjwa wa akili siku moja walipimwa akili kama wana mabadiliko. Wakapelekwa kwenye bwawa la kuogelea (swimmin pool) lisilo na tone la maji.

Wakaambiwa waingie waogelee, sita kati ya saba wakajitupia bwawani. Mmoja akabaki pembeni akiwaangalia wenzake. Madaktari wakamuuliza 'wewe mbona hujafanya kama wenzako?'

Akajibu ''sina boya la kuogelea''

No comments:

Post a Comment