Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 19, 2010

Duka la dawa...

Kijana mmoja alienda pharmacy kununua condom. Alipofika akauulizwa wataka za aina gani?

Jamaa akajibu, za long weekend maana kuna mrembo mzuri kweli, afta mlo wa mchana kwao na wazazi wake twaenda holiday kula maisha.

Mchana kwa wazazi wa binti, jamaa akapewa nafasi kuombea chakula. Alipomaliza msichana akamnong'oneza ''hujawahi niambia kuwa ni mtu wa dini mzuri''

Jamaa nae akamnong'oneza, ''hujawahi niambia kuwa baba yako anauza pharmacy''

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment