Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 19, 2010

Kwenye jokofu

Mtoto mmoja aliulizwa na mama yake, ''mdogo wako yupo wapi?''

Mtoto: Amelia sana, mempa maziwa hataki, mkate hataki...
Mama: Sasa yupo wapi?

Mtoto: Nimemfungia kwenye friji achague mwenyewe anachotaka kula...

No comments:

Post a Comment