Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Kimemo

Jamaa aliagiza supu bar akaenda msalani, huku nyuma akaacha kikaratasi kimeandika ''nimetemea mate supu hii''

Aliporudi akakuta kikaratasi kingine kimeandikwa ''na mimi nimetemea mate''

From: Helena Sylvester

No comments:

Post a Comment