Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Kazi kwa muhindi...

Muhindi mmoja aliajiri wafanyakazi wawili Juma na Ali. Hivyo ili kulinda mali zake alimuita mmoja mmoja kwa wakati wake na kuwaambia...
''Juma linda Ali"
"Ali linda Juma"

Mwisho wa siku Juma na Ali walipofukuzwa kazi wakauliza ''mwenzangu vipi tumetoka bila kitu kulikoni?''

'mi nliambiwa nikulinde wewe'' Juma alisema.
'na mimi nliambiwa nikulinde wewe' Ali alisema.

No comments:

Post a Comment