Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Mswaki

Siku moja mwanafunzi mmoja katika hostel fulani walikuwa wanashea friji. Ikawa kila akiweka maji ya kunywa anakuta wamekunywa. Akabuni lake siku ingine akaweka maji yake kama kawaida yake na akatumbukizia mswaki ndani yake ili mwizi wa maji yake ashindwe kunywa. Baadae jioni aliporudi akakuta mswaki wa pili ndani yake.

*real story*
cheka unenepe.
chekazone.blogspot.com

No comments:

Post a Comment