Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Naniliu mpya

Mzee mmoja aliletewa 'pichu' 3 na mjukuu wake toka majuu. Sasa kuna siku alisahau kuvaa na akawa bahati mbaya watoto wa mtaani wakawa wanaonyeshana vidole uku wanacheka, yule mzee alipowaona akawaambia ''mnaishangaa hiyo? Nnazo zingine ndani mpyaaa''

No comments:

Post a Comment