Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Kujiua

Mwanaume mmoja aliamua kujirusha toka ghorofa ya 4 ili ajiue kutokana na maudhi apatayo toka kwa mkewe, kwa bahati mbaya hakufa akavunjika vunjika tu na kulazwa hosp:

Siku mkewe alipoenda kumtembelea hosp akamuambia hivi ''siku ingine ukitaka kujiua panda ppf tower''

No comments:

Post a Comment