Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Kunyongwa...

Kulikuwa na watuhumiwa wa kunyongwa watatu siku ya kunyongwa kwa kwa nyakati tofauti hali ilikuwa hivi:

Mtuhumiwa 1: Alisimama kwenye kizimba akafikiriaa na kusema kwa sauti kubwa ''tetemeko tetemeko'' watu pakawa hapatoshi na yeye akapata mwanya wa kutoroka.

Mtuhumiwa 2: Kabla ya hukumu yake alifikiria nakupiga kelele ''Mafurikoo mafurikoo'' pakawa hapatoshi na yeye akapata mwanya wa kutoroka.

Mtuhumiwa 3: Huyu nae kabla ya muda wa kunyongwa akasimama na kusema kwa sauti kubwa ''moto motoo!!......''

No comments:

Post a Comment