Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Kununua gari.

Jamaa mmoja mjasiliamali aliamua kujitolea uvivu akamuita rafiki yake ampe ushauri, maongezi yao kama ifuatavyo:

Frank: Kaka nimekuita nataka unipatie ushauri.
Deo: Bila shaka kaka ushauri gani una uhitaji toka kwangu?

Frank akamjibu bila wasiwasi.

Frank: Nina plan ya kununua gari siku za usoni.
Deo: Ooh! Wazo zuri sana, enhe endelea...
Frank: Nishauri nimeshindwa kujua nianze kununua kimoja kimoja je nianze break au honi?

No comments:

Post a Comment