Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Ushamba

Jamaa mmoja alinunua gari. Baada ya siku kadhaa akaenda kwa fundi:

Mwenye gari: Fundi nimekuja nna swali kuhusiana na gari yangu.

Fundi: Oh, uliza tu.

Mwenye gari: Eti nnasikia nikiwa naendesha matairi yanazunguka?

Fundi: !

No comments:

Post a Comment