Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Mimba

Siku moja mume na mkewe mjamzito wakati wanafanya tendo la ndoa ghafla ya mume ikanasia ndani.

Mume akachukua jukumu la kumpigia simu daktari wake kwa msaada zaidi.

Mume: Dokta nanihii yangu imenasa kwa mke wangu.

Dokta: Tafuta pipi umpe mama aimeze.

Dakika chache baadae akampigia simu tena dokta.

Mume: Dokta nashukuru imechomoka. Mbona sijaelewa kuhusu pipi?

Dokta: Mtoto tumboni kaona pipi akaiachia nanihii...

1 comment:

  1. hahahahahahhahah,
    we john weweeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete