Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Mapacha watatu

Mama mmoja alikuwa mja mzito wa mapacha watatu tumboni. Humo tumboni wale watoto maongezi yao kama ifuatavyo:

Mtoto 1: Mi nkitoka humu ndani lazima niwe fundi umeme hili giza humu ndani limezidi.

Mtoto 2: Mimi ntakuwa mkulima maana njaa inazidi sa zingine humu ndani.

Mtoto 3: Mimi ntakua muwindaji, huyu nyoka anaeingia ingia humu ananikera sana. (uume)

No comments:

Post a Comment