Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Kuopoa

Jamaa mmoja aliopo changudo akalala nae mpaka asubuhi. Kulipokucha akavaa suruali yake vizuri halafu akatoka nje kifua wazi huku akimuambia yule changudoa ''nakuja nna shida na mtu wa mapokezi''

Hatua chache toka ilipo gesti hausi kuna wauza mitumba ya sagula sagula, jamaa akanunua t-shirt ya bei chee akasonga mbele.

No comments:

Post a Comment