Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Tusi la...

Mtoto mmoja alitukanwa na mwenzake ''fuck u''

Alipoenda kumsemea kwa mwalimu. Yule mtoto alietukanwa akaulizwa na mwalimu, ''amekutukanaje?''

Yule mtoto aliogopa kulikopi kama lilivyo maana ingekuwa limehamia kwa mwalimu so akajibu ''amenitukana tusi la kwenye kanda ya Tupac''

No comments:

Post a Comment