Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Kwenda juani...

Nchi mbili wakiwa ktk mazungumzo:

Nchi A: Sisi ni wa kwanza kwenye anga.

Nchi B: Sisi wa kwanza kwenye mwezi.

Nchi C: Sasa ndo iweje? Sisi tutakuwa wa kwanza kwenye jua.

Nchi A na B wakabaki mdomo wazi!

Nchi C: Mnadhani sisi wajinga? Hatutoweza ungua kwa jua, tutaenda usiku.

No comments:

Post a Comment